Home » » LOWASSA AFANYA MKUTANO KATESH MKOANI MANYARA

LOWASSA AFANYA MKUTANO KATESH MKOANI MANYARA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye(kulia), akiwa na Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono la vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, katika mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Makondeko  wilayani Kateshi mkoani Manyara.
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono la vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Makondeko  wilayani Kateshi mkoani Manyara.
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono la vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Makondeko  wilayani Kateshi mkoani Manyara.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Wilaya ya Katesh Idd Kitiyanga, akionyesha kadi ya Chadema baada kukabidhi ya CCM kwa Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono la vyama vya Ukawa, Edward Lowassa katika mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Makondeko  wilayani Kateshi mkoani Manyara
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono la vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akivalishwa vazi la kimila na wazee wa kabila la Kimasai katika mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Makondeko  wilayani Kateshi mkoani Manyara.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Manyara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa