MBUNGE HHAYUMA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI BASSOTUGHANG

Na Mwandishi wetu, Hanang'MBUNGE wa Jimbo la Hanang' Mkoani Manyara, mhandisi Samwel Hhayuma Xaday ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Bassotughang utakaonufaisha watu 4,995 wa kata ya Hidet.Watu hao watanufaika kupitia mradi huo wa maji kutoka ziwa Bossoutghang baada ya kujengwa kwa mitambo ya kusafisha maji hayo na kuanza kutumika kwa matumizi ya binadamu hivyo kupunguza changamoto ya upatikanaji wa majiMhandisi Hhayuma ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuwakumbuka wananchi wa eneo hilo kwa kuwawekea miundombinu bora ya upatikanaji wa ma...

KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED YADHAMINI TIMU YA FOUNTAIN GATE

Na Ferdinand Shayo ,ManyaraKampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi iliyopo mjini Babati Mkoani Manyara imedhamini timu ya mpira wa miguu inayoshiriki ligi kuu ya soka tanzania bara ya Fountain Gate kupitia kinywaji chake kipya cha Tanzanite Royal Gin ambapo timu hiyo imeingia makubaliano ya udhamini wa mwaka mmoja na kampuni hiyo .Akizungumza katika Halfa ya kusaini mkataba wa udhamini Huo,Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited David Mulokozi amesema kuwa wameamua kudhamini timu hiyo ili kutoa fursa kwa wakazi wa Mkoa wa Manyara kupata burudani ya soka kutoka kwa timu ya Fountain Gate na kunufaika...

MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA UHUSIANO SERIKALINI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Lango Kuu la Kuingia Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyopo mkoani Manyara . Mkuu wa Idara ya Utalii,Mhifadhi Theodora Aloyce akitoa maelezo kwa Maafisa Habari,Mawasiliano na Uhusino Serikalini walipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire iliyopo mkoani Manyara kwa lengo la kutangaza Utalii wa ndani. Baadhi ya Maafisa Habari,Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wakiwa katika gari wakati wa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kujionea vivutio mbalimbali vilivyoko katika Hifadhi hiyo wakiwemo Wanyama mbalimbali. Miti...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Manyara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa