
Na Mwandishi wetu, Hanang'MBUNGE wa Jimbo la Hanang' Mkoani Manyara, mhandisi Samwel Hhayuma Xaday ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Bassotughang utakaonufaisha watu 4,995 wa kata ya Hidet.Watu hao watanufaika kupitia mradi huo wa maji kutoka ziwa Bossoutghang baada ya kujengwa kwa mitambo ya kusafisha maji hayo na kuanza kutumika kwa matumizi ya binadamu hivyo kupunguza changamoto ya upatikanaji wa majiMhandisi Hhayuma ameipongeza Serikali ya awamu ya sita kwa kuwakumbuka wananchi wa eneo hilo kwa kuwawekea miundombinu bora ya upatikanaji wa ma...