Na Mwandishi wetu, Hanang'
MBUNGE wa Jimbo la Hanang' Mkoani Manyara, mhandisi Samwel Hhayuma Xaday
ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Bassotughang utakaonufaisha watu
4,995 wa kata ya Hidet.
Watu hao watanufaika kupitia mradi huo wa maji kutoka ziwa
Bossoutghang baada ya kujengwa kwa mitambo ya kusafisha
maji hayo na kuanza kutumika kwa matumizi ya binadamu
hivyo kupunguza changamoto ya upatikanaji wa maji
Mhandisi Hhayuma ameipongeza Serikali ya awamu ya sita
kwa kuwakumbuka wananchi wa eneo hilo kwa kuwawekea
0 comments:
Post a Comment