Home » » WKULIMA WA UFUTA WAPANUA MASHAMBA

WKULIMA WA UFUTA WAPANUA MASHAMBA

  Zao la Ufuta
Babati. Wakulima wa ufuta kwenye kata tano za Tarafa ya Mbugwe, wilayani Babati, mkoani Manyara, wanatarajia kunufaika na kilimo hicho msimu huu baada ya kulima na kupanda mbegu kwenye ekari 5,625 za mashamba yao.
Ofisa Mazao wa Shirika la Farm Africa, Tumaini Elibariki alisema wakulima hao wanatarajia kupata mavuno ya tani 2,390 za ufuta.
Elibariki alisema wakulima kumi wa ufuta kata za Mwada, Magugu, Magara, Nkaiti na Kiru, awali walilima na kupanda kilo 11, 250 sawa na tani mbili za ufuta.
Chanzo:Mwannchi

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Manyara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa