Home » » Mh. George Mkuchika afungua mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara

Mh. George Mkuchika afungua mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala bora) Kapteni mstaafu George Mkuchika, akizungumza juzi mjini Babati, kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara RCC, katikati ni Mkuu wa Mkoa huo Elaston Mbwilo na Kaimu Katibu Tawala Missaile Musa.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza juzi Mjini Babati wakati wa mkutano wa 20 wa Kamati ya ushauri ya mkoa huo RCC (kulia) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala bora) Kapteni mstaafu George Mkuchika na Kaimu Katibu Tawala Missaile Musa.
Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mkoani Manyara, Kisiery Werema Chambiri (CCM) akizungumza juzi mjini Babati kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo (RCC).

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Manyara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa