Home » » Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro wajipanga kuwatumikia wananchi waliowachagua

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro wajipanga kuwatumikia wananchi waliowachagua

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 


Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Albert Msole akizungumza kwenye baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo kushoto ni Mkuu wa wilaya hiyo Mahmoud Kambona na kulia ni Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Jackson Lesikar Sipitieck.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Jackson Lesikar Sipitieck na Makamu Mwenyekiti wa halmashauri hiyo Albert Msole wakifuatilia kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mji mdogo wa Orkesumet
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wakifuatilia kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mji mdogo wa Orkesumet.Picha na Joseph Lyimo - Globu ya Jamii, Manyara.
Michuzi Media Group

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Manyara Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za mikoa